POST: MWALIMU DARAJA LA III C (ELECTRONICS AND COMMUNICATION EGINEERING) – 3 POST

Job Role Insights

  • Date posted

    2025-02-11

  • Closing date

    2025-02-11

  • Hiring location

    Tanzania

  • Career level

    Middle

  • Qualification

    Bachelor Degree

  • Experience

    1 - 2 Years 3 Years

  • Quantity

    3 person

  • Gender

    both

Job Description

POST: MWALIMU DARAJA LA III C (ELECTRONICS AND COMMUNICATION EGINEERING) - 3 POST

EMPLOYER: MDAs & LGAs

APPLICATION TIMELINE:: 2025-02-10 2025-02-20

JOB SUMMARY: N/A

DUTIES AND RESPONSIBILITIES:

  • Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa
  • Kutengeneza na Kufaragua zana za kufundishia na kujifunzia
  • Kufundisha, kufanya Tathimini na kutunza kumbukumbu za Maendeleo ya wanafunzi
  • Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani
  • Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri nasaha na unasihi
  • Kutoa ushauri wa kitaalamu na kitaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu
  • Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za shule
  • na viii. Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE:

Kuajiriwa mwenye Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu(BachelorofEducation)yenyelaSomola “Electronics and Communication Engineering” kutoka katika vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.   AUShahadaisiyo yaUalimu/Elimu yenyesomo la kufundishia laSomo la “Electronics and Communication Engineering”.Pamojana Stashahada ya Uzamiliya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali.   AU Wenye Shahada isiyo ya Ualimu katika fani ya somo la kufundishia la Somo la “Electronics and Communication Engineering”. Waombajiambaohawanasomola UALIMUnilazimawawe tayari kupata mafunzo ya UALIMU baada ya kuajiriwa.

REMUNERATION: TGTS- D

Interested in this job?

0 days left to apply

Apply now

Share this opportunity

Help others find their dream job

How to Apply

Apply now