POST: MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA UMEME WA MAGARI (AUTO ELECTRICAL) (RE-ADVERTISED) – 3 POST

Job Role Insights

  • Date posted

    2025-02-11

  • Closing date

    2025-02-11

  • Hiring location

    Tanzania

  • Career level

    Middle

  • Qualification

    Diploma

  • Experience

    1 - 2 Years 3 Years

  • Quantity

    3 person

  • Gender

    both

Job Description

POST: MWALIMU DARAJA LA III B - SOMO LA UMEME WA MAGARI (AUTO ELECTRICAL) (RE-ADVERTISED) - 3 POST

EMPLOYER: MDAs & LGAs

APPLICATION TIMELINE:: 2025-02-10 2025-02-20

JOB SUMMARY: N/A

DUTIES AND RESPONSIBILITIES:

  • Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa
  • Kutengeneza na Kufaragua zana za kufundishia na kujifunzia
  • Kufundisha, kufanya Tathimini na kutunza kumbukumbu za Maendeleo ya Wanafunzi
  • Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani
  • Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri nasaha na unasihi
  • Kutoa ushauri wa kitaalamu na kitaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu
  • Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za shule
  • na viii. Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE:

Kuajiriwamwenyechetichamafunzo ya StashahadayaUalimuyenyesomolakufundishialaUmemewa magari “Auto Electrical” kutoka Vyuo vya Ualimu vinavyotambulika na Serikali.     AUWenyeStashahadaisiyoyaUalimukatikafaniSomolaUmemewaMagari“Auto Electrical”. Waombaji ambao hawana somo la UALIMU ni lazima wawe tayari kupata mafunzo ya UALIMU baada ya kuajiriwa  

REMUNERATION: TGTS-C

Interested in this job?

0 days left to apply

Apply now

Share this opportunity

Help others find their dream job

How to Apply

Apply now