
POST: MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA (FOOD PRODUCTION)(RE-ADVERTISED) – 14 POST
Job Role Insights
-
Date posted
2025-02-11
-
Closing date
2025-02-11
-
Hiring location
Tanzania
-
Career level
Middle
-
Qualification
Certificate
-
Experience
1 - 2 Years 3 Years
-
Quantity
10 person
-
Gender
both
Job Description
POST: MWALIMU DARAJA LA III B - SOMO LA (FOOD PRODUCTION)(RE-ADVERTISED) - 14 POST
EMPLOYER: MDAs & LGAs
APPLICATION TIMELINE:: 2025-02-10 2025-02-20
JOB SUMMARY: N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES:
- Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa
- Kutengeneza na Kufaragua zana za kufundishia na kujifunzia
- Kufundisha, kufanya Tathimini na kutunza kumbukumbu za Maendeleo ya Wanafunzi
- Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani
- Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri nasaha na unasihi
- Kutoa ushauri wa kitaalamu na kitaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu
- Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za shule
- na viii. Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE:
Kuajiriwa mwenye cheti cha mafunzo ya Stashahada ya Ualimu yenye somo la kufundishia la Uzlishaji chakula (Food production/ Culinary Arts) kutoka Vyuo vya Ualimu vinavyotambulika na Serikali. AU Wenye Stashahada isiyo ya Ualimu katika fani ya Huduma ya Chakula, vinywaji na mauzo (Food production/ Culinary Arts). Waombaji ambao hawana somo la UALIMU ni lazima wawe tayari kupata mafunzo ya UALIMU baada ya kuajiriwa
REMUNERATION: TGTS-C
Interested in this job?
0 days left to apply
Share this opportunity
Help others find their dream job